Data Loading...
MyGOV NOVEMBA 30, 2021_INASAMBAZWA BILA MALIPO Flipbook PDF
MyGOV NOVEMBA 30, 2021_INASAMBAZWA BILA MALIPO
106 Views
62 Downloads
FLIP PDF 1.91MB
INASAMBAZWA BILA MALIPO The best prevention against the coronavirus is still washing your hands and keeping safe social distance
NOVEMBA 30, 2021
www.mygov.go.ke
TATHMINI YAKO YA WIKI
TOLEO No. 22/2021-2022
+254 020 4920000
[email protected]
Kenya yaelekea kufanikisha Ruwaza ya maendeleo 2030 Mwenyekiti wa Bodi ya utekelezaji ya Ruwaza ya 2030 Jane Karuku asema idadi ya miradi muhimu imeongezeka kutoka 93 mwanzo wa 2008 hadi miradi 216 katika serikali ya kitaifa na serikali za kaunti Waziri Prof. Margaret Kobia akihutubia wazazi katika shule ya msingi ya Nyasanda, kaunti ndogo ya Ugunja hivi majuzi.
Serikali kuwapa wajane mikopo bila kuwatoza riba NA PHILIP ONYANGO (KNA)
W Waziri wa ICT, Joe Mucheru akihutubia wakuu wa mashirika na wawakilishi wa idara za serikali katika Kenyatta International Conference Center, wakati wa uzinduzi wa ripoti kuhusu ufanisi na utendakazi wa Ruwaza ya 2030. PICHA: BONFACE MALINDA (KNA) NA JOSEPH NG’ANG’A Waziri alisema kwamba geuzwa dijitali kwa rekodi tekinolojia imekumbatiwa za ardhi kupitia mtandao wa Mwongozo mkuu wa katika serikali yote ikiwemo Ardhisasa ambao umebadilimaendeleo wa Kenya, Ruwizara na idara. Aliongeza sha sekta ya Ardhi. waza ya 2030 imeshika kasi kuwa hata katika kiwango “Kwa kutumia tekinolokufuatia hatua ya serikali ya cha kaunti, hii imebadilisha jia, cheti chako cha kukuharakisha miradi muhimu sekta ya umma na jinsi serimiliki ardhi ni chako peke ya miundomsingi na mabadikali inavyoendesha shughuli yako na hakuna anayeweza liko katika sekta ya umma ili zake. kukibadilisha, unaweza kuUkiingia kwekutoa nafasi kwa ukuaji wa “Ukiingia katika tovuti ya fanya uchunguzi ukiwa nynye mtandao uchumi. e-Citizen utapata huduma umbani,” alisema Mucheru. Waziri wa ICT, Ubunifu zaidi ya 300 za serikali na mtu Mucheru alieleza kuwa wa e-Citizen, na Masuala ya Vijana Joe anaweza kuzipata akiwa pomtu hawezi kufahamu anayutapata zaidi ya Mucheru anasema kwamba pote walipo, hata nje ya nchi. oweza kufanya katika mwaka huduma 300 tofauti tekinolojia imetekeleza juUnaweza kuomba paspoti, mmoja huku akieleza matuza serikali ambazo kumu muhimu katika kitambulisho, kupata upya maini kwamba maendeleo unaweza kuzikuafikia Ruwaza ya 2030 na leseni ya gari, kuwasilisha mengi yanaweza kupatikana pata wakati wowserikali imewekeza mno kutaarifa ya kodi na huduma katika miaka tisa iliyobaki weka miundomsingi ya dijizingine nyingi,” alisema wakabla ya 2030. ote kutoka popote” tali na kufanya huduma kuwa ziri. Alikuwa akizungumza Mwenyekiti wa Bodi ya -Waziri Mucheru za dijitali. katika Kenyatta International utekelezaji wa Ruwaza ya Mucheru alisema kwamba Convention Centre (KICC) 2030 Jane Karuku alisema maendeleo ya miundomistaba wa biashara huru wa Afwakati wa kuzindua ripoti kwamba ruwaza hiyo iningi chini ya Ruwaza ya 2030 rican Continental Free Trade ya utekelezaji wa mipango na awezesha nchi kubaki katika na mazingira bora ya biashara Area (AfCFTA). miradi ya Ruwaza ya 2030. njia yake ya maendeleo hata yamesababisha biashara asi“Sasa tuko na kiwanda cha Alisema maendeleo haya serikali zikibadilika. lia za Kenya kama benki na kutengeneza vifaa vya stima yamebadilisha maisha ya “Idadi ya miradi muhimu kampuni za mawasiliano Nyeri ambacho kinauza bidwatu wengi na kuokoa muda imeongezeka kutoka 93 2008 kustawi na kupenya katika haa zake Japan, Amerika na na pesa ambazo zilikuwa hadi miradi 216 kwa sasa,” eneo na kunufaika na mkaUlaya,” alisema Bw Mucheru. zikipotea huku akitaja kualisema Karuku..
5,000 Takwimu za Wiki
Kilo za kahawa mashine mpya iliyonunuiwa na wakulima Kirinyaga itaweza kutayarisha kwa saa moja
539
1978
Idadi ya waliofuzu na digrii ya Uzamili kwenye sherehe ya pamoja kati ya vyuo vya PAUSTI na JKUAT
Mwaka ambapo Kenya Pipeline Company (KPC) ilizindua bomba la mafuta la inchi 14 linalofahamika kama Laini Moja
AJANE nchini watafaidika na mikopo isiyo na riba kutoka kwa Serikali ili kuwawezesha kuboresha maisha yao kupitia biashara mbalimbali za kuzalisha mapato. Akizungumza jana katika Kituo cha Biashara ya Simerro, Kaunti ya Siaya, katika uzinduzi wa Mpango wa Huduma Mashinani, Waziri wa Utumishi wa umma, Jinsia, Masuala ya Wazee na Mipango Maalum, Margaret Kobia, alisema hatua hiyo ni kuwaokoa wajane kutoka kwa ufukara na dhuluma mbalimbali. “Kupitia Hazina ya biashara ya wanawake, tumeweza kuunda mpango maalum yenye jina la ‘Thamini’ kwa ajili ya wajane. Wanaolengwa katika mpango huu hawatatozwa riba wala kulipa ada yoyote,” akasema Profesa Kobia. Vikundi 15 vya wajane Kaunti ya Siaya vilikuwa vya kwanza kunufaika na mikopo ya jumla ya Sh1.5 milioni baada ya kupata mafunzo. Hafla hiyo iliyohudhuriwa na waziri msaidizi , Rachel Shebesh, wabunge Opiyo Wandayi (Ugunja), Lillian
Gogo (Rangwe), Jacqueline Oduol (mbunge maalum) na Christine Ombaka (mwakilishi wa wanawake, Siaya) inanuia kuwafaidi mamilioni ya wajane. Kadhalika, waziri alisema watakaofaika wa mkopo wa “Thamini” watapata kati ya Sh100,000 hadi Sh1,000,000 na masharti rahisi ya ulipaji kwa muda wa miezi 30. Alisema kuwa zaidi ya wajane milioni 1.6 wamepokea mafunzo ya ustadi wa biashara, akiongeza kuwa serikali imejitolea ili kujumuisha na kushirikiana na Wakenya wote kupitia utekelezaji wa ufadhili kwa vijana na akina mama katika kaunti zote. Profesa Kobia alisema kuwa serikali imetoa zaidi ya Sh295.4 milioni kupitia Hazina ya biashara ya wanawake kwa wanawake katika Kaunti ya Siaya. “Kiasi hicho kimewanufaisha watu 34,882. Tutaendelea kuinua maisha ya wajane kote chini.” Katika mpango wa Huduma Kenya, Profesa Kobia alisema kuwa Wakenya wameokoa zaidi ya Sh200 bilioni . Alisema mtindo huo umepunguza zaidi gharama za utoaji wa huduma za serikali kwa Sh118 bilioni.
13,000
67.9B
Tani za mchele ambazo wakulima katika maeneo ya Ahero na West Kano wanatarajia kuvuna.
Kiasi cha pesa Benki ya Dunia na Serikali zitatumia kwenye miradi tofauti vijijini katika kaunti 45
1
NCA/T/26/ 2021-2022
Tender for provision of Bulk Email AGPO services
9th December, 2021
NCA/T/28/ 2021-2022
Re-tender for Supply of Fuel & OPEN Lubricants for NCA vehicles for a period of one year
NCA/T/29/ 2021-2022
4
5
3
Eligibility Closing/ Opening Date
WA NA K
IVU KO
H IC
WA
UM
M AU
ND HI
KU S
Tender No. Description of Tender
I
TENDER NOTICE
The National Construction Authority (NCA) is a State Corporation established under the National Construction Authority Act 2011, with the responsibility to oversee the construction industry and coordinate its development. The Authority invites sealed bids from eligible candidates for the following tenders; No
ON
M
NATIONAL OPEN TENDER NOTICE
2
WA KU
KIKOHOZI
2 | MATANGAZO
“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha kutembea, virusi vitakufa”
H O MA
KOMESHA
MUA
KU
DALILI NOVEMBA 30, 2021
PU
REGISTRATION OF CONSULTANTS TO UNDERTAKE VARIOUS AUDIT SERVICES. The Kenya National Highways Authority (KeNHA) is a State Corporation established under the Kenya Roads Act, 2007, with the responsibility for the Management, Development, Rehabilitation and Maintenance of National Roads. The Authority hereby invites eligible and interested candidates to apply for Registration follows; S/ No.
Tender no.
Tender description
Closing Date and Time
1.
KeNHA/2499/2021
15th December, 2021 at 11.00am.
9th December, 2021
Registration of Technical Expertise Consultants to undertake Audit Services on Road Construction & Maintenance Projects for a period of two (2) years.
2.
KeNHA/2500/2021
15th December, 2021 at 11.00am.
Tender for provision of GPA & WIBA OPEN Insurance cover for NCA staff for a period of one year
9th December, 2021
Registration of Technical Expertise Consultants to undertake Audit Services on Public Private Partnership Model of Project Management for a period of two (2) years.
3.
KeNHA/2501/2021
Registration of Technical Expertise Consultants to undertake Audit Services on ICT Audit for a period of two (2) years.
15th December, 2021 at 11.00am.
NCA/T/30/ 2021-2022
Tender for provision of services for AGPO Developmental Editing, proof reading and printing of various Studies by NCA
9th December, 2021
NCA/T/31/ 2021-2022
Tender for Supply, Installation & OPEN Commissioning of Data Collection & Analysis Software & Infrastructure
9th December, 2021
The National Construction Authority (NCA) is a State Corporation established under the National Construction Authority Act 2011, with the responsibility to oversee the construction industry and coordinate its development. The Authority invites sealed bids from eligible candidates for the following tenders; Manager, Supply Chain FOR: EXECUTIVE DIRECTOR @ncakenya
National Construction Authority
[email protected]
Interested eligible candidates may obtain further information and registration documents from the Kenya National Highways Authority website: www.kenha.co.ke or PPIP portal: www.tenders.go.ke free of charge. Due to the COVID-19 pandemic and consequently the Presidential Directives issued, bidders are encouraged to download tender documents to minimise physical visits to KeNHA Offices. Deputy Director, Supply Chain Management For: DIRECTOR GENERAL
For all your queries email us on: [email protected], @KeNHAKenya
Customer Care : 0700 423 606
#Road Safety Starts With You
Kenya National Highways Authority
Website : www.kenha.co.ke ISO 9001:2015 Certified
+254-709 126 102/172/173
NATIONAL COMPETITIVE BIDDING
INTERNATIONAL COMPETITIVE BIDDING
TENDER NOTICE
TENDER NOTICE
The Kenya Airports Authority invites sealed tenders from eligible firms for the following tenders:-
The Kenya Airports Authority invites sealed tenders from eligible firms for the following tenders:REFERENCE NUMBER
TENDER DESCRIPTION
PRE-BID MEETING/ SITE VISIT
CLOSING/ OPENING DATE
KAA/ICB/0091/ 20212022
Development and Management of Duty Free Shops at Terminal 1B & Terminal 1C at Jomo Kenyatta International Airport
Bidders will be required to seek through the email address, [email protected] for prior appointment before visiting the site in order to ensure social distancing requirements are adhered to.
17/12/2021 at 11.00 a.m.
Information on these tender notices and documents detailing the requirements, tendering procedures and guidelines should be downloaded from our website at https://www.kaa.go.ke/corporate/procurement/ or https://suppliers.kaa.go.ke/irj/portal or Public or Procurement Information Portal at www.tenders.go.ke free of charge. Bidders are advised to note that bidding process for the tenders is through our online tender portal at https://suppliers.kaa.go.ke/irj/portal. For any information or clarifications, please contact us through our email, [email protected]
REFERENCE NUMBER
TENDER DESCRIPTION
PRE-BID MEETING/ SITE VISIT
CLOSING/ OPENING DATE
KAA/OT/JKIA/0061/2021 -2022
Development and Management of Food and Beverage Outlets; Lot 1: Branded Fast Food Restaurant Lot 2: Gourmet Coffee Shop Lot 3: African Cuisine Lot 4: Branded Grab N Go Lot 5: Branded Bar And Restaurant
Bidders will be required to seek through the email address, [email protected] for prior appointment before visiting the site in order to ensure social distancing requirements are adhered to.
08/12/2021 at 11.00 a.m.
at Jomo Kenyatta International Airport Information on these tender notices and documents detailing the requirements, tendering procedures and guidelines should be downloaded from our website at https://www.kaa.go.ke/corporate/procurement/ or https://suppliers.kaa.go.ke/irj/portal or Public or Procurement Information Portal at www.tenders.go.ke free of charge.
Canvassing for the tender by the tenderer or by proxy shall lead to automatic disqualification of their tender.
Bidders are advised to note that bidding process for the tenders is through our online tender portal at https:// suppliers.kaa.go.ke/irj/portal. For any information or clarifications, please contact us through our email, [email protected]
MANAGING DIRECTOR/CEO
Canvassing for the tender by the tenderer or by proxy shall lead to automatic disqualification of their tender. MANAGING DIRECTOR/CEO
Funika mdomo unapopiga chafya
Nawa mikono na sabuni/ Sanitaiza
Jitenge na walio na virusi
Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu
Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi
KPC kusitisha matumizi ya bomba lake la miaka 40
UZUIAJI NOVEMBA 30, 2021
MATANGAZO | 3
NA PSCU
Wachimba migodi ya madini ya manganisi pamoja na familia zao katika eneo la Kadzandani huko Ganze kaunti ya Kilifi wamenufaika kutokana na kambi ya matibabu bila malipo iliyoandaliwa na shirika la Beyond Zero la Mama wa Taifa Margaret Kenyatta. Kambi hiyo ya siku mbili ambayo ilianza siku ya Jumanne na kuandaliwa na shirika la Beyond Zero kwa ushirikiano na Kaunti ya Kilifi, Shirika la Kamili, Wakfu wa Beth Mugo na shirika la Lions Kenya ilitoa huduma mbalimbali za matibabu. Shughuli hiyo iliyoandaliwa katika shamba la madini la Zen ilitoa huduma za ukaguzi dhidi ya saratani ya tezi kibofu, saratani ya matiti na saratani ya nyumba ya uzazi pamoja na matibabu ya magonjwa ya macho, afya ya mama na afya ya akili miongoni mwa huduma zingine. Akizungumza wakati wa shughuli hiyo ambayo
Wahandisi kutoka KPC warekebisha bomba la zamani zaidi katika eneo la Ndii, Taita Taveta ambapo maji kutoka Mzima yataunganishwa na bomba hilo kusukuma bidhaa hadi Nairobi kwa haraka kabla lisitishwe kutumika.
hiyo fursa ya kusitisha laini 1 kwa kuondoa bidhaa zilizosalia za mafuta kwenye bomba la kilomita 450.Alibainisha kuwa mbali na faida kubwa ya kulinganisha ya uwezo wa juu katika laini mpya, kutakuwa na gharama ya chini ya kuitengeneza kwani wanaweza kufanya ukarabati wa bomba hilo mpya katika miaka kumi ijayo.“Baada ya kufanya kazi kwenye Laini 1, bomba la kawaida lina maisha ya karibu miaka 25, tunaweza kusema njia ya zamani imehudumia nchi vizuri kwa sababu ya kutengenezwa vizuri lakini ikaanza kuwa ghali,” alisema Bw Wanyama.
Aidha alisema pampu mpya, 8 kwa jumla, tayari zimewekwa, mbili Mombasa, nyingine mbili Maungu, Taita Taveta, Mtito Andei na Sultan Hamud mtawalia Alielezea kuwa ni moja tu inahumu kwa wakati fulani huku nyingine zikiwa zimesimamishwa “Kwa sasa hii inatoa lita milioni 1 kwa saa lakini ina mpango wa kuboreshwa hadi lita milioni 1.8 kwa saa na ndiyo maana bomba la pili jipya litajumuisha vituo vipya vya kusafirisha maji ambavyo vitakuwa Samburu kilomita 50 kutoka Mombasa, Manyani, Makindu na Konza, ” alisema.
RURAL ELECTRIFICATION AND RENEWABLE ENERGY CORPORATION
iliwanufaisha zaidi ya wafanyikazi 210 wa kuchimba madini, familia zao pamoja na jamii, afisa wa maslahi katika migodi hiyo Anderson Kahindi alimpongeza Mama wa Taifa Margaret Kenyatta na mashirika husika kwa kuandaa kambi hiyo ya matibabu katika eneo hilo. “Ningependa kulipongeza sana shirika la Beyond Zero la Mama wa Taifa Margaret Kenyatta na washirika wake
kutokana na huduma zinazotolewa hii leo. Hii ni kwa sababu ufadhili wa kibinafsi wa huduma za matibabu zinazotolewa ni ghali zaidi kwa wananchi wa kawaida na hivyo kampi hiyo ya matibabu ni zawadi yetu ya mwaka,” kasema Bw Kahindi. Ziara za matibabu ni sehemu muhimu ya mkakati wa Beyond Zer wa Mama wa Taifa ambao unadumu kuanzia 2018 hadi 2022.
The Kenya Broadcasting Corporation invites interested and eligible tenderers to participate in the following tender:
1.
PROCURING ENTITY: Rural Electrification and Renewable Energy Corporation (REREC) P.O Box 34585 – 00100 Nairobi
2.
CONTRACT NAME AND DESCRIPTION: Tender Description
Wachimba migodi ya Manganisi na familia zao katika eneo la Kadzandani, kaunti ndogo ya Ganze, Kilifi ambao walinufaika na matibabu ya bure ambayo yalidhaminiwa na Beyond Zero yake Mama wa Taifa Margaret Kenyatta hivi majuzi.
TENDER NOTICE
INVITATION TO TENDER
Rfx No.
KOMESHA
Wafanyikazi wa migodi Kilifi wanufaika na huduma za Beyond Zero za matibabu
NA WANGARINDIRANGU
KAMPUNI ya Kenya Pipeline (KPC) iko katika hatua za mwisho za kusitisha matumizi ya bomba lake kuu la inchi 14 linalojulikana kama Line 1. Kampuni ya Kenya pipeline itaibadilisha bomba la kitambo na laini mpya ya inchi 20 iliyoanza kutumika mwaka wa 2018 na kwa sasa inasafirisha zaidi ya lita 1 milioni za bidhaa za petroli kwa saa kutoka kituo cha mafuta cha Kipevu Oil mjini Mombasa hadi jiji la Nairobi ikilinganishwa na laini ya zamani ambayo ilikuwa inasafirisha kiwango cha lita 880,000 na imedumu kwa takriban miaka 40 tangu mwaka wa 1978. Meneja wa KPC Martin Wanyama, alisema kuwa usafirishaji wa bidhaa za petroli zilizosalia kwenye laini kutoka Mombasa hadi Nairobi utakamilika mwishoni mwa mwezi ujao. Wanyama ambaye alikuwa akizungumzia wanahabari kuhusiana na mabomba ya kampuni hiyo ya Kenya pipeline alieleza kuwa laini mpya ilizinduliwa mwaka wa 2018.Aligusia kuhusu uzuri na faida ya bomba hilo mpya Wanyama alisema kuwa mradi huo unaipa kampuni
Hakikisha maeneo yote ni safi
Submission Deadline
1000000735
Implementation, Installation, Configuration, Data Migration, Integration, Testing, Commissioning, Training, Maintenance, Support Services for SAP Modules (Re-Advertisement)
9/12/2021 at 10.00am.
1000000732
Frame Tender for Provision of Transport Services
16/12/2021 at 10.00am
TENDER NUMBER
TENDER DESCRIPTION
9/KBC/2021-22
STUDIO MASHINANI AUDIO VISUAL PRODUCTION PROJECT IN KISII AND ELDORET
10/KBC/2021-22
PROVISION OF INSURANCE COVER FOR KBC’S FIXED ASSETS (UNDERWRITERS)
11/KBC/2021-22
SALE (HARVESTING & DISPOSAL) OF GRASS AT LANG’ATA TX & NGONG TX (RE-ADVERTISEMENT)
A complete set of tender documents may be downloaded by interested candidates from the Corporation website; www. kbc.co.ke, tenders.go.ke or obtain hard copy from Procurement Manager’s Office at Broadcasting House Harry Thuku Road. Interested candidates will be required to register by paying non refundable fees of Ksh 1,000 in cash or bankers Cheque payable to Kenya Broadcasting Corporation cashier situated on harry Thuku Road before the deadline of returning the completed document. (Kshs.1000/= not applicable to youth, women and PWD), Bidders downloading the tender document from the website are not required to pay but should immediately forward their particulars for records and for the purposes of receiving any further tender clarifications and/or addendums to KBC Procurement Office or procurement@kbc. co.ke.
3.
Tendering will be conducted under National open competitive method using a standardized tender document. Tendering is open to all qualified and interested Tenderers.
4.
Qualified interested tenderers may obtain further information during office hours 8.00am-12.45pm to 1.45pm-4.00pm Monday to Friday at the address given below.
5.
A complete set of tender documents may be viewed and downloaded by interested tenderers free of charge electronically from the Website www.rerec.co.ke under tender documents or through the e-procurement portal using https://suppliers. rea.co.ke:44300/irj/portal
6.
Tenderers who are not yet registered with REREC must register their companies in order to participate in the tender using link below that can be found from the website www.rerec.co.ke Procurement-Supplier registration:https://suppliers.rea. co.ke:44200/supportal(bD1lbiZjPTUwMCZkPW1pbg==)/bspwdapplication.do#VIEW_ANCHOR-ROS_TOP
Completed tender documents must be submited in plain sealed envelopes clearly marked with respective tender numbers and addressed to:-
7.
All Tenders must be accompanied by a tender Security as specified in the tender document
8.
The Tenderer shall chronologically serialize all pages of the tender document submitted.
9.
Only Electronic Tenders will be permitted. Late tenders will not be submitted. Tenders will be opened immediately after the deadline date and time specified above or any dead line date and time specified later. Tenders will be publicly opened in the presence of the Tenderers’ designated representatives who choose to attend at the address below and the results relayed electronically.
Managing Director, Kenya Broadcasting Corporation, P.O. Box 30456-00100, NAIROBI
10.
The addresses referred to above are: Address for obtaining further information on tender documents: for hand Courier bid security Delivery to an office or Tender Box (Nairobi, Off Popo Road, Kawi Complex, Ground floor). Contact Manager, Supply chain management, telephone number: 0709193000 and e-mail address: [email protected] Address for Submission of Tenders: Online Through https://suppliers.rea.co.ke:44300/irj/portal Address for Opening of Tenders. Online
CHIEF EXECUTIVE OFFICER
OR Be deposited in the tender box at the Main Gate Broadcasting House on or before 14th December 2021 at 10.00am. Submitted bids will be opened immediately thereafter at the KBC VIP Canteen in the presence of bidders or representatives who wish to attend. MANAGING DIRECTOR
WA NA K
H IC
WA
UM
IVU KO
I
M AU
ND HI
WA KU
KIKOHOZI
H O MA
4 | MATANGAZO
“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha kutembea, virusi vitakufa”
ON
M
KOMESHA
MUA
KU
DALILI NOVEMBA 30, 2021
PU
KU S
Asasi za serikali kupambana na kuongezeka kwa ajali za barabarani NA MUCHIRI KARANJA (OGS)
inganishwa na mwaka jana ambapo watu 3,340 walipoteza maisha yao kupitia ajali za barabarani. Ripoti hiyo pia ilibainisha kuwa kati ya 4,023 waliofariki, ni abiria na madereva ndio waathiriwa zaidi. “Miongoni mwa sababu kuu za ajali hizo ni uendeshaji kwa kasi bila kuzingatia kanuni za trafiki, ulevi na uchovu hasa kwa madereva wa masafa marefu,” ikasoma ripoti. Waendesha pikipiki wasio na ujuzi na uzoefu, kushindwa kuvaa mavazi ya kujikinga,
SERIKALI imetoa wito kwa asasi zake zote kuungana ili kupambana na visa vinavyoongezeka vya ajali kote nchini. Haya yanajiri huku nchi ikirekodi idadi kubwa zaidi ya ajali nchini katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. Kulingana na ripoti ya Mamlaka ya Kitaifa ya Uchukuzi na Usalama (NTSA), kati ya Januari na Novemba 21 mwaka huu, visa 4,023 vya vifo vimeripotiwa nchini ikil-
kushindwa kutumia fulana za kuakisi mwangaza ili kuongeza mwonekano, uzembe, kuendesha huku wakiwa walevi, kutofuata kanuni za trafiki na kupishana kwa kasi kumetajwa kuwa kunakochangia vifo vingi miongoni mwa waendeshaji pikipiki. Kadhalika, watu wa-
4,023
Watu ambao wamefariki katka ajali za barabarani mwaka huu
naotembea kwa miguu wameripotiwa kufa kutokana na uzembe wa kuvuka barabara katika maeneo hatari na kutumia simu wakati wanapovuka barabara. Kutofunga mikanda ya usalama kumelaumiwa kwa kuongezeka kwa idadi ya vifo vya abiria mwaka huu. Ili kukabiliana na haya, NTSA, Huduma ya Kitaifa ya Polisi na idara zote husika za serikali zimekuwa zikizunguka nchi nzima kuhamasisha watumiaji wa barabara kupitia mipango ya kuimarisha us-
alama barabarani. Mpango huo unalenga kutoa ufahamu zaidi kuhusu hali ya sasa ya ajali za barabarani na kuwahimiza Wakenya kuripoti madereva wanaofanya makosa kupitia nambari ya simu ya 999 ya polisi na kuripoti mtandaoni kwa NTSA ambako kunafanyika bila malipo kupitia simu za kisasa. Hata hivyo, NTSA pia inashirikiana na polisi ili kufanya ukaguzi barabarani na kuwakamata madereva wanaokiuka kanuni hizo. “Tutashirikiana pia na Hu-
duma ya Kitaifa ya Vijana (NYS) ili kutoa mafunzo kwa waendeshaji bodaboda.” Waendesha pikipiki 1,508 wamekufa katika kipindi cha miezi 11 iliyopita ikilinganishwa na 1,324 katika kipindi kama hicho mwaka jana. Serikali pia inarekebisha shule za udereva kote nchini ili kuwaondoa madereva wenye mafunzo duni katika barabara za Kenya. Kulingana na NTSA, ni shule 714 pekee za udereva ambazo zimetimiza viwango vya uthibitishaji vilivyo.
MINISTRY OF INTERIOR & CO-ORDINATION OF NATIONAL GOVERNMENT STATE DEPARTMENT FOR CORRECTRIONAL SERVICES OPEN NATIONAL TENDER NOTICE
TENDER INVITATION NOTICE
Kenya Post Office Savings Bank (Postbank) invites bids from interested firms as follows:-
The Government of Kenya through the Ministry of Interior and Coordination of National Government (State Department for Correctional Services) invites tenders from eligible Contractors to carry out the following works:-
S/No.
TENDER NAME
TENDER No.
1.
SDC/25/2021-2022
Supply, Installation and Commissioning Ksh 2% of of – ‘Above Ground, Full Size, 40T, the Tender Static Vehicle – Weighbridge, Sum Loading Cell Type’ - Naivasha Maximum Prison
15 December, 2021
Supply, Installation, Testing and Commissioning of Electrical Maize Miller 30T Capacity, Complete with Accessories - Naivasha Maximum Prison
Ksh 2% of the Tender Sum
15th December, 2021
Supply, Installation, Testing and Commissioning of a Rice Mill – Mwea Prison
Ksh 2% of the Tender Sum
2.
3.
SDC/26/2021-2022
SDC/27/2021-2022
BID-BOND CLOSING DATE
No
Tender Number
Tender Name
Eligibility
1.
KPOSB/013/2021
Supply, Installation and Commissioning of an Enterprise Service BUS and Mobile and Internet Banking System
Open
2
KPOSB/014/2021
Supply, Installation, Commissioning and Support of EMV Compliant HSM.
Open
3
KPOSB/015/2021
Supply of Biometric POS Terminals and Teller POS Application
Open
4
KPOSB/016/2021
Provision of Periodic Maintenance of Firefighting Equipment’s and Systems.
Open
5
KPOSB/017/2021
Provision of Corrective and Preventive Maintenance of Stand-by Generator Sets
Open
6
KPOSB/018/2021
Provision of Online Transport Services
Open
7
KPOSB/019/2021
`Supply,Installation and Commissoning of Disk Back Up Library
Open
8
KPOSB/020/2021
Provision of Marketing and Advertising / Communication Agency/ Services
Open
9
KPOSB/DISP001/2021
Disposal of Obsolete Items
Open
th
15th December, 2021
Interested eligible candidates should download the document free of charge from our website www.correctional.go.ke or, from IFMIS Kenya suppliers portal: www.supplier.treasury.go.ke and or www.mygov.go.ke. The document can also be collected from the Ministry of Interior and Coordination of National Government (State Department for Correctional Services) Supply Chain Management Office upon payment of non-refundable fee of Kshs.1,000/= (one thousand only) in the Ministry cash office or bankers cheque addressed to the Principal Secretary. All bidders to bring two checklists for all the documents attached which will be signed by the Chairman of tender opening committee during opening exercise. Any further information may be obtained from Head of Supply Chain Management Services, Teleposta Towers 13 Floor during normal working hours (8.00 to 1.00 pm and from 2.00 to 5.00 pm).
th
Bid documents with detailed information may be obtained from Postbank House, Procurement Office 4th Floor, South Wing on Monday to Friday during normal working hours upon payment of Kshs 1,000 at the Head Office Branch or download from the Postbank website www.postbank.co.ke. Upon Payment/download bidders must register their tenders and details at Procurement Office 4th floor or fill in the online bidders form and submit as instructed (for those who download the bid document). Completed bid documents should be submitted in a plain sealed envelope and clearly marked with the appropriate Tender Number and Name with no any other writings and be addressed to the: Managing Director, Kenya Post Office Savings Bank, P.O Box 30311-00100 GPO, NAIROBI. and be deposited in the tender box located on Ground Floor, Postbank House, Banda Street Nairobi, Kenya to be received on or before 10.00 a.m. Tuesday 21st December 2021. Opening of the tenders will take place immediately thereafter in the Conference Room located on 5th Floor, South Wing, Postbank House in the presence of the Bidders and/or their representatives who may choose to attend.
Completed tender documents are to be enclosed in plain sealed envelopes marked with tender reference number and be deposited in the Tender Box on 13th Floor at Teleposta Tower Nairobi be addressed to:
REGISTRATION OF SUPPLIERS FOR YEAR 2022-2024
The Principal Secretary, State Department for Correctional Services, P.O. Box 30478-00100, Nairobi.
Bid documents with detailed information may be obtained from Postbank House, Procurement Office 4th Floor, South Wing on Monday to Friday during normal working hours upon payment of Kshs 1,000 at the Head Office Branch or download from the Postbank website www.postbank.co.ke. Upon Payment/download bidders must register their tenders and details at Procurement Office 4th floor or fill in the online bidders form and submit as instructed (for those who download the bid document).
So as to be received on or before 15th December, 2021 at 10.00 a.m Tenders will be opened immediately thereafter in the presence of the Candidates or their representatives who choose to attend at the boardroom located on 13th floorTeleposta Tower Nairobi. Prices quoted must be net inclusive of VAT and all Government Taxes and must remain valid for one hundred fifty (150) days from the opening date of the tender. The Bid Security, which must be from a reputable bank or from a PPRA accredited insurance company, shall be valid for one hundred and eighty (180) days from tender opening date. Late bids will be returned unopened.
HEAD – SUPPLY CHAIN MANAGEMENT SERVICES FOR: PRINCIPAL SECRETARY STATE DEPARTMENT FOR CORRECTIONAL SERVICES
Completed bid documents should be submitted in a plain sealed envelope and clearly marked with the appropriate Tender Number and Name with no any other writings and be addressed to the: Managing Director, Kenya Post Office Savings Bank, P.O Box 30311-00100 GPO, NAIROBI. and be deposited in the tender box located on Ground Floor, Postbank House, Banda Street Nairobi, Kenya to be received on or before 10.00 a.m. Tuesday 28th December 2021. Opening of the bid documents will take place immediately thereafter in the Conference Room located on 5th Floor, South Wing, Postbank House in the presence of the Bidders and/or their representatives who may choose to attend.
Funika mdomo unapopiga chafya
Nawa mikono na sabuni/ Sanitaiza
Jitenge na walio na virusi
Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu
Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi
Hakikisha maeneo yote ni safi
UZUIAJI
KOMESHA
NOVEMBA 30, 2021
MATANGAZO | 5
FINANCIAL REPORTING CENTRE UAP OLD MUTUAL TOWER PRIVATE BAG 00200, NAIROBI TEL: +254 709858000
ADC/AFC DEVELOPMENT HOUSE
P. O. BOX 47101 – 00100 NAIROBI, TEL: 250695/317199 [email protected]
TENDER NOTICE The Agricultural Development Corporation & Agricultural Finance Corporation invite sealed bids from eligible bidders for the following tenders:TENDER NO.
ITEM DESCRIPTION
TARGET GROUP
CLOSING DATE
ADC/AFC/06/2021-2022
Proposed Supply, Installation & Commissioning of CCTV (Re-advertised)
Open
15th December, 2021
ADC/AFC/07/2021-2022
Proposed Rehabilitation of Floors (Re-advertised)
Open
15th December, 2021
ADC/AFC/08/2021-2022
Proposed Replacement of Passenger Lifts & Associated Ancillary Works
Open
15th December, 2021
Eligible tenderers may obtain further information from and inspect the tender documents at Development House, Moi Avenue, P.O.BOX 47101 - 00100 NAIROBI, 2nd Floor door number 9 or 10, during the hours 8.00am to 4.00p.m. A complete set of tender documents may be obtained by candidates by downloading the document from the website www.agrifinance.org or www.adc.or.ke or www.tenders.go.ke Bidders who wish to participate must immediately register their particulars through the email procurement. [email protected] for purposes of receiving necessary clarifications and/or addenda.
TENDER NOTICE The Financial Reporting Centre (FRC) was established as government agency under Section 21 of the Proceeds of Crime and Anti-Money Laundering Act 2009 (POCAMLA) and Prevention of Terrorism Act (PATO) 2012 with the principal objective of identifying proceeds of crime and combating money laundering. The Centre hereby invites sealed open tenders as follows:
S/No. 1.
Tender No:
Tender Description
Bid Security
Category
Tender Closing Date
FRC/T/DRC/003/20212022
Supply and Installation of a Disaster Recovery Centre
Kshs. 2% of Quoted Sum
Open National Tender
Friday, 31st December, 2021 at 11.00am
Interested Bidders may obtain further information, inspect, and download the tender documents at the FRC website: www.frc.go.ke. Bidders who download the tender documents from the website must immediately forward their particulars (i:e name and contact of applicant) to the email [email protected] for purposes of any further tender clarifications. Prices quoted should be inclusive of all taxes and levies, must be in Kenya Shillings and shall remain valid for 120 days from the tender closing date. Completed tender documents are to be enclosed in plain sealed envelopes, marked with the tender name and be deposited in the tender box at the Financial Reporting Centre, UAP Old Mutual tower, 29th Floor, Upper hill road, Nairobi or delivered to the address indicated below so as to be received on or before the indicated dates above. Director General Financial Reporting Centre P.O Box, Private Bag 00200 Nairobi.
Completed tender documents for the tenders (in hard copy) marked with tender reference number and name are to be deposited in the Tender Box at 2nd Floor Development House addressed to The Chairman, ADC/AFC DEVELOPMENT HOUSE, PO BOX 47101 NAIROBI GPO so as to be received on or before 15th December, 2021 at 11.00a.m. and will be opened immediately thereafter at the ADC/AFC Conference Hall, 3rd Floor, Development House, Nairobi
Tenders will be opened immediately thereafter in the presence of candidates or their representatives who choose to attend at the meeting room situated on the 29th Floor, UAP Old Mutual Tower Upper Hill, FRC Offices on the indicated closing date.
THE CHAIRMAN, ADC/AFC DEVELOPMENT HOUSE
Director General Financial Reporting Centre
THE KENYA NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL
KENYA ANIMAL GENETIC RESOURCES CENTRE
“Quality Education Assessment and Credible Certification for a Value Based Society”
For Superior Kenyan Animal Genetics
KNEC is ISO 9001:2015 Certified
For Superior
TENDER NOTICE
TENDER NOTICE The Kenya Animal Genetic Resources Centre (KAGRC) is a State Corporation under the Ministry of Agriculture, Livestock, Fisheries and Irrigation mandated to produce, preserve, conserve and distribute animal genetic materials.
1.0 The Kenya National Examinations Council (KNEC) is a State Corporation established in 1980 under an Act of
Parliament, namely; The Kenya National Examinations Council Act Chapter 225A of (1980). The Act was repealed in 2012 and replaced with The Kenya National Examinations Council Act No. 29 of 2012. The Council is mandated to conduct national assessments and examinations at both basic and tertiary levels and certify learners.
2.0
TENDER NO.
TENDER NAME
KAGRC 009/2021/2022
PROVISION OF MEDICAL INSURANCE COVER FOR BOARD MEMBERS AND STAFF
Interested candidates may obtain the tender documents with the complete qualification criteria from the Centre’s Revenue office located at the administration block A, on Kapenguria road, off Lower Kabete road upon payment of a non-refundable fee of Kshs 1,000.00 in cash or Bankers cheque payable to Kenya Animal Genetic Resources Centre during normal working hours on week days. Tender documents may also be downloaded from our website www.kagrc.go.ke and www.tenders.go.ke free of charge.
KNEC invites sealed bids for eligible bidders for the tenders below:
S/No. TENDER NUMBER 2.1
2.2
TENDER TITLE
TARGET GROUP
KNEC/ONT/2021-2022/19 (Re-tendered)
Tender for Supply, delivery and Installation of 20Ft Dry Empty Containers and related Relocation services
Open
KNEC/ONT/2021-2022/20
Tender for Supply and delivery of Bulk Printing Paper and related consumables
Open
Completed bid documents in plain sealed envelopes, marked only with the tender number, tender name and bearing no indication of the tenderer should be addressed to:
3.0
Managing Director Kenya Animal Genetic Resources Centre P.O Box 23070-00604 Lower Kabete, Nairobi
websites: www.knec.ac.ke or www.supplier.treasury.go.ke or www.tender.go.ke
and be deposited in the tender box situated at the reception area of the administration block A not later than 14th DECEMBER, 2021, at 10.00am. Late bids will be rejected and returned unopened. Opening of the tenders will take place immediately thereafter in the presence of the tenderers or their representatives who choose to attend. MANAGING DIRECTOR P.O. Box 23070-00604, Lower Kabete, Nairobi, Kenya. Cell Phone: 0728899767/ 0737540670, Landline: 020-2064018, 4181325/6 DL: 020-4180024, Fax: 4181328/2064017 Email: [email protected], Web: www.kagrc.co.ke “Let’s all help to achieve a safe and sustainable environment”
Interested eligible Bidders may obtain tender documents from the following
ISO 9001:2008 QMS Certified
4.0
The closing date for submission is on 9 th December, 2021 at 10.00 a.m. Application is open to all interested bidders.
Chief Executive Officer The Kenya National Examinations Council P.O. Box 73598 -00200 NAIROBI
H IC
WA
UM
WA NA K
IVU KO
I
M AU
ND HI
WA KU
KIKOHOZI
H O MA
KU S
6 | MATANGAZO
“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha kutembea, virusi vitakufa”
ON
M
KOMESHA
MUA
KU
DALILI NOVEMBA 30, 2021
PU
National Environment Management Authority Popo Road, off Mombasa Road P.O. BOX 67839-00200, Nairobi, Kenya T el: (254 020) 6005522, 6001945, Fax: (254 020) 6008997) E-mail: [email protected] Website:
NOTICE TO THE PUBLIC TO SUBMIT COMMENTS ON AN ENVIRONMENTAL IMPACT ASSESSMENT STUDY REPORT FOR THE PROPOSED SEWERAGE NETWORK REHABILITATION, EXPANSIONS AND INTERCONNECTIONS (LAST MILE CONNECTIVITY WORKS) FOR KAKAMEGA TOWN, KAKAMEGA COUNTY Pursuant to Regulation 21 of the Environmental Management and Coordination (Impact Assessment and Audit) Regulations, 2003, the National Environment Management Authority (NEMA) has received an Environmental Impact Assessment Study Report for the above proposed project.
Soil erosion
•
Re vegetation of disturbed surfaces should be done as soon as possible
Occupational accidents
• • • • • • • •
Ensuring that the drivers and machine operators hired to work on the site are qualified. Workers on site must be provided with appropriate PPE. Appropriate signs must be erected on the site to warn workers and visitors. There should be safety policy clearly displayed on the site. A first aid kit should be provided and a trained first aider should always be on site. Fire extinguishers should be provided. Proper scheduling of activities to avoid workers being overworked. No worker should be allowed on site while under the influence of alcohol or other inebriating substances. Only the Blaster licensed by the Mines and Geology should carry out blasting on the site. Blasting should only be carried out as per the provisions of the blasting license away from house and power lines. All charged holes must be covered with appropriate medium to arrest fly rocks. Inspection of workers to ensure they are using the PPE at all times when necessary. Test and approve equipment such as ladders before use. Registration of the premises as required by Law. Appropriate insurance should be acquired as required by law Medical examination of all workers before engagement and after the project is over. Display an emergency evacuation procedure. Moving parts of machines should be guarded to protect workers from injuries. Should an accident occur: An investigation should be initiated immediately to ascertain the cause of the accident and preliminary findings released within 12 hours.
The proponent, Rift Valley Water Works Development Agency, proposes to rehabilitate and expand the sewerage system within Kakamega town for the following lines; Kakamega Town Main Market-Kenya Farmers Association, Amalemba sewer, Referral Hospital sewer and the Milimani - Masinde Muliro University of Science and Technology (MMUST) sewer interconnections in the last mile connectivity works in Kakamega County. The following are the anticipated impacts and proposed mitigation measures: Possible Impacts
Mitigation
Air pollution
• • • • • • • • • •
Water pollution
• • • • •
Solid wastes
• • • • • • • •
Noise and vibration
• • • • • • • • • •
Biodiversity loss
• • • •
Disturbance of traffic and difficulty of access
• • • • • • • •
Damage of underground infrastructure
• • • • •
Drivers should be instructed on the benefits of driving practices that reduce both the risk of accidents and fuel consumption, including measured acceleration and driving within safe speed limits; Ensure that all vehicles involved in the transport of construction material and staff, and machinery involved in the construction is properly maintained and serviced. Machines must not be left idling for unnecessary periods of time; this will save fuel and reduce emissions. Use of dust control methods, such as covers water suppression Ensure that all trucks carrying aggregate and sand are covered during delivery to the site. Ensure that all material (sand and aggregate) stockpiled on the site to be used in construction activities are regularly sprayed to reduce the effects of wind whipping Care must be taken in the unloading construction materials (aggregate, sand and cement) to prevent spillage. If a spill occurs, this should be cleaned up as soon as possible thereafter. Retain a buffer area of trees and other vegetation generally around the perimeter of the development site which will serve as a natural windbreaks which may reduce the level of dispersion of dust particles generated during this phases of the development. All raw materials must be sourced as close as possible to the construction site thus reducing the emissions from vehicular traffic. All waste must be transported off-site for processing, not burnt or stored for any longer than is absolutely necessary. If diesel and motor oil are to be stored on site, ensure that they are properly contained in a bounded area (With capacity to contain 1½ times the amount of substances stored). This area must have signs indicating the storage of these substances erected. Provide workers at the development site with chemical toilets during this phase of the development. A reasonable ratio would be fifteen (15) workers per toilet. Store all raw materials away from the vicinity of water bodies located on the property to avoid contamination in these areas. General refuse generated during these phases of the development must be stockpiled in one central area of the development site, away from existing water bodies and collected, transported and disposed of appropriately at the designated disposal site. Clearance of vegetation must be avoided in periods of heavy rainfall. Use an integrated wastes management system observing the following hierarchy of options: Reduction at source, Recycling, Reuse, Combustion and Land filling. Incorporation of waste management commitments contained in the Waste Management Guidelines. Agreement with suppliers to accept the return of unused materials. Agreement with and license details of companies to be used for the off-site transport of wastes Workforce training programs in waste minimization practices Waste oil will be collected for transport and off-site disposal littering, specifically of the natural areas, should be prevented. Bins shall be emptied on a daily basis. Waste and litter shall be disposed of into scavenger – and weather proof bins. Best available work practices will be employed on-site to minimize occupational noise levels. Combine noisy operations so that they occur at the same time. Noisy operations will be carried out strictly during the day time. Switch off engines when not in use. Access roads should be cut that are exclusively used for the transportation of workers, goods and materials. Where possible silenced machinery and instruments should be employed to reduce the impact of noise on the existing residents and workers. Machinery, vehicles and instruments that emit high levels of noise should be used on a phased basis to reduce the overall impact. Temporary barriers such as earth berms, zinc fencing and sound dampening fencing such as acoustic screens should be employed to reduce the impact of noise to the existing residents. Ensure that construction activities for the development of the project are staggered to decrease the levels of noise and vibration in the area. Construction hours should be limited to the hours of 8:00 a.m. and 6:00 p.m. daily. Only clear vegetation that is absolutely necessary for the construction activities; Avoid the use of Invasive Alien Species in the landscaping activities Determine Access roads which are to be used by machinery used in the construction and site clearance phase development to avoid the unnecessary trampling of vegetation that will be maintained within the development area. Ensure that green belts‘ which have been proposed for the STW are large as possible as small patches may not be able to support viable populations of some species and these small patches tend to more susceptible to edge effect. Provide diversion routes where possible. Give a construction itinerary in advance. Erect warning signs of ongoing works. Expedite construction works so as to reduce the times where roads are blocked. Traffic department should approve crossing plan prior to construction, and should approve obstruction times during construction Access of residents should be facilitated by installing appropriate temporary bridges over the pipeline trenches. Suitable warning signs should be placed at near locations and should be visible at night. A guard should be available 24 hours to help people access across pipeline trenches. Alternatives access ways should be communicated to the community Get maps of the underground infrastructure from the relevant institutions. Sensitize workers carrying out Excavations so that they exercise caution to minimize chances of underground infrastructure damage. Work closely with the responsible institutions so that in case of damage, the services are restored within the shortest time. Reroute sensitive infrastructure where possible. Notify affected parties if service needs to be temporarily relocated or was affected by the project works
• • • • • • • • • • • Social conflicts
• • • • • •
Immediate action undertaken as soon as possible and within 24 hours of receipt of a complaint. Investigations completed within seven days of receipt of complaint. All corrective actions implemented by due date. All incidents or complaints about either environmental or social issues will be managed in accordance to the existing procedure in line with the legal framework. All incidents and complaints will be recorded in the contractor’s incident reporting system. Sensitize workforce on cultural sensitivities.
Spread of HIV/ aids
• • • • •
Sensitize the migrant workers on dangers of risky sexual behaviour. Have VCT services on site and encourage workers to undergo the same. Uptake of VCT by project workers and the host community. Provision of condoms to the workers. Preference for hiring workers from local community to minimize influx of migrant workers.
Employment
• • • •
As a priority offer employment opportunities to the local residents. Employed persons with credible skills Ensure workers have an Insurance Cover. Working hours should be as per the Kenyan Labour laws.
Access to public and private Properties
• •
Monitoring impact of project on dwelling and business in the project area. Monitor construction activities to ensure public and private property is not damage.
Displacement of people
•
Avoid displacement as much as possible prompt and fair compensation of all the PAPs in full prior to beginning of construction works at the site. Pre and post resettlement counselling’s support. Financial education for the recipients of compensation funds. Identification and full resettlement assistance for vulnerable PAPs.
• • • Offensive odours
• • •
Climate change incident
• •
Provide adequate buffer area, such as trees, or fences, between processing areas and potential receptors. Avoid siting facilities near densely populated neighborhoods and installations with potentially sensitive receptors, such as hospitals and schools. Cover emission points (e.g., aeration basins, clarifiers, sludge thickeners, tanks, and channels), and vent emissions to control systems (e.g., compost beds, bio filters, chemical scrubbers, etc.) as needed to reduce odours and otherwise meet applicable national requirements and internationally accepted guidelines Encourage forestry Actions: encourage tree planting on the hills, community and private land and develop better management of forestry operations as trees absorb and store atmospheric CO2 and avoid forest fires not to release CO2. Minimize the off-take of woody biomass for construction and fuel and use other alternatives such as stoves, electricity, stones and cement concrete breaks instead of wood for house
The full report of the proposed project is available for inspection during working hours at: 1. Principal Secretary, Ministry of Environment and Forestry, NHIF Building, 12th Floor, Ragati Road, Upper Hill, P.O. BOX: 30126-00100, NAIROBI
2. Director General, NEMA Popo Road, off Mombasa Road, P.O. BOX 67839-00200, NAIROBI
3.
County Director of Environment Kakamega
A copy of the EIA report can be downloaded at www.nema.go.ke NEMA invites members of the public to submit oral or written comments within thirty (30) days from the date of publication of this notice to the Director General, NEMA, to assist the Authority in the decision-making process for this project. Kindly quote ref. no. NEMA/ EIA/5/2/1870 Comments can also be e-mailed to [email protected] MAMO B. MAMO DIRECTOR GENERAL This advertisement is sponsored by the proponent. Report incidences and complaints: NEMA incident lines: 0786 101 100, 0741 101 100 Email: [email protected] : National Environment Management Authority – Kenya
: @NemaKenya
Funika mdomo unapopiga chafya
Nawa mikono na sabuni/ Sanitaiza
Jitenge na walio na virusi
Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu
Katibu kwa wataalamu: Toeni suluhisho kwa changamoto ibuka NA BERNADETTE KHADULI
Mashirika nchini yamehimizwa kushirikiana na kutengeneza bidhaa zilizo na uwezo wa kutatua changamoto za kitekinolojia zinazoshuhudiwa nchini. Katibu wa idara ya serikali ya ICT na Ubunifu, Jerome Ochieng alisema kwamba ili mashirika yaweze kushindana katika mazingira mapya ya kibiashara na uchumi, yanafaa kuweka mikakati na shughuli kwa kukumbatia tekinolojia.
Jerome alisema kwamba inafurahisha kwamba matumizi na mabadiliko ya dijitali yamepatiwa kipaumbele katika mashirika na viwanda katika juhudi za kutatua na kufikia wateja ambao wameelekea katika majukwaa ya mtandao. Akizungumza wakati wa kuzinduliwa kwa Africa Centre for Women Information and Communications Technology E-Learning Platform katika hoteli moja ya Nairobi leo, katibu alisema kwamba
Kenya imekumbatia vyema mabadiliko ya dijitali kutokana na mazingira thabiti ya kisheria, taasisi na uthibiti ambayo serikali imeweka kuimarisha sekta ya ICT. “Kenya imeorodheshwa ya tano miongoni mwa nchi za Afrika katika sekta muhimu ikiwemo miundomisingi, intaneti na huduma za dijitali na ni ya pili Afrika katika upatikanaji wa kazi kidijitali,” alisema Jerome.
IN THE MATTER OF THE COMPANIES (BENEFICIAL OWNERSHIP INFORMATION) (AMENDMENT) REGULATIONS 2021 Business Registration Service (BRS) is mandated to oversee the operations of the Companies Registry, Movable Property Security Rights Registry (Collateral Registry), Official Receiver in Insolvency and the Hire Purchase Registry. IN EXERCISE of the powers conferred by the Companies Act, Section 1022 of the Companies Act, 2015, the Attorney General has come up with draft Companies (Beneficial Ownership Information) (Amendment) Regulations, 2021. The Service wishes to invite the public to submit their comments on the draft Companies (Beneficial Ownership Information) (Amendment) Regulations, 2021. The draft can be accessed at www.brs.go.ke or www.statelaw.go.ke. Comments on the same should be submitted to [email protected]. Kenneth Gathuma Director General
Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi
Hakikisha maeneo yote ni safi
UZUIAJI
KOMESHA
NOVEMBA 30, 2021
MATANGAZO | 7
Msanifu majengo aliyechora KICC atuzwa NA YOBESHONWONG’A (KNA)
C
huo Kikuu cha South Eastern Kenya University (SEKU) kimemkabidhi digrii ya heshima msanifu majengo wa kwanza Mkenya, David Muoka Mutiso mwenye umri wa miaka 89 kwa huduma yake ya miaka mingi katika utumishi wa umma ya zaidi ya miongo mitano akiwa msanifu majengo na upangaji wa miji. Akisema ambatisho la tuzo wakati wa mahafala ya nane ya SEKU, Naibu Chansela Profesa Geoffrey Muluvi alisema Msanifu Majengo Mutiso alijiunga na Baraza la jiji la Nairobi mwaka wa 1960. “Mutiso aliyezaliwa Julai 10, 1932, alisomea shule ya msingi Macha-
kos na Alliance High School. Mwaka wa 1954, alijiunga na Chuo Kikuu cha Sheffield, Uingereza kusomea digrii ya usanifu wa majengo,” alisema Profesa Muluvi. Mutiso alifunzu mwaka wa 1959 na digrii ya Usanifu wa Majengo kutoka Chuo Kikuu cha Sheffield na pia akajiunga na College of Arts Nottingham, alipofunzu na Diploma katika Upangaji wa Miji na Nchi. Aliteuliwa Msanifu majengo msaidizi mwaka wa 1959 na Msanifu Majengo mwaka wa 1960. Vile vile, mwaka wa 1959 hadi 1960 alihudumu kama mshauri wa serikali kuhusu mipango ya miji. “Talanta yake na kujitolea kulitambuliwa na akajiunga
na wizara ya ujenzi (MOW) katika serikali ya Kenya kama Mpangaji wa Miji mwaka wa 1965,” alisema Profesa Muluvi. Mwaka wa 1966, Msanifu Majengo Mutiso alipandishwa cheo kuwa Msanifu Majengo msimamizi wa wizara ya ujenzi na akawa msanifu majengo mkuu wa kwanza Mkenya, wadhifa ambao alishikilia hadi mwaka wa 1994 alipostaafu kutoka utumishi wa umma. Akiwa msanifu majengo mkuu, alishirikisha na kusimamia makundi ya masoroveya wa vitengo mbali mbali, wasanifu majengo na wahandisi kuunda na kutekeleza miradi mingi ya serikali ya Kenya ikiwemo KICC.
Koimett ataka wauzaji kukumbatia zaidi biashara mtandaoni NA BERNADETTE KHADULI
Ke n y a inaendeleza mchakato wa kuweka mkakati wa biashara ya mtandao kukuza biashara na kuwezesha nchi kupata manufaa yake kikamilifu. Katibu wa Utangazaji na Mawasiliano Esther Koimett alisema kwamba mkakati huo ni muhimu kwa kuwa utawezesha nchi kutambua nafasi zake za uchumi ambazo zinasaidiwa na malengo ya maendeleo ya nchi katika Ruwaza ya 2030, Mwongozo wa Uchumi Dijitali na Sera ya Taifa ya ICT, Mkakati wa taifa wa Intaneti wa 2023 na Mpango wa Taifa
wa Usalama wa Mtandao. Alisema kwamba mkakati uliopendekezwa unatarajiwa kuwa tayari kati kati ya 2022 kufanikisha uwezo wa nchi katika biashara mtandaoni huku ikikabiliana na changamoto zinazozuia biashara mtandaoni. Bi Koimett alisema ili Kenya iweze kufikia kiwango cha nchi zinazoongoza katika biashara mtandaoni kama Uswizi, Uholanzi, Denmark na Singapore, haitakuwa na jingine isipokuwa kuhakikisha imepata intaneti salama, huduma za kutegemewa za posta na upatikanaji wa miundomsingi ya mawasiliano. “Kama nchi, tunahitaji ku-
hakikisha wengi wa watu wetu wanatumia intaneti na wanaweza kupata taasisi za kifedha au huduma za kutuma pesa kwa simu,” alisema, na kuongeza kuwa kunawiri kwa biashara mtandaoni kutaharakisha pakubwa ustawi wa kiuchumi na kijamii, na hivyo basi kubuni nafasi za kazi na kuongeza biashara. Katibu alisema hayo kwenye hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na katibu wa Usimamizi, Utangazaji na Mawasiliano Juliana Yiapan wakati wa mkutano wa mashauriano kuhusu kuwa tayari kwa biashara mtandaoni uliofanyika katika hoteli moja jijini Nairobi.
NATIONAL GOVERNMENT AFFIRMATIVE ACTION FUND EMPOWERING FOR SELF - RELIANCE
PUBLIC NOTICE ON THE STATUS OF INQUIRY INTO CLAIMS ON FOREST MATERIALS UNDER KFS AFFECTED BY THE 2018 MORATORIUM ON LOGGING IN PUBLIC AND COMMUNITY FORESTS
DECLARATION OF VACANT POSTS The National Government Affirmative Action Fund is a Semi-Autonomous Government Agency established under the Public Finance Management Act 2012 (NGAAF Regulations 2016). The Fund wishes to recruit officers to fill the following vacancies. 1. Corporation Secretary (1) 2. Internal Auditor (1) 3. County Coordinators in the following counties; Bomet, Isiolo and Turkana 4. Monitoring and Evaluation Officer (1) 5. Information, Communication and Technology (ICT) Officer (1)
The General Public is hereby notified that the Kenya Forest Service (KFS), in conjunction with the Multi-Agency Oversight Team, shall hold public meetings to update the affected forest industry investors/saw millers on the status of inquiry into the claims on forest materials that were sold by KFS and were affected by the moratorium issued by the Government in 2018 on logging in public and community forests. The meetings will be held as tabulated below:
Interested applicants can access the detailed job specific terms of reference through www.ngaaf.go.ke.
No.
Date
Venue
Time
HOW TO APPLY:
1.
6 December, 2021
KFS Head of Conservancy Office North Rift, Eldoret.
9.00 a.m.-1.00 p.m.
Application from qualified candidates should be sent via email to [email protected], or hand delivered to NGAAF headquarter at ABSA Building 16th Floor or by Post addressed to The Chief Executive Officer, National Government Affirmative Action Fund, P.O. Box 48274 – 00100, Nairobi.
2.
8 December, 2021
KFS Head of Conservancy Ofice Mau, Nakuru.
9.00 a.m.-1.00 p.m.
3.
10 December, 2021
KFS Head of Conservancy Office Central Highlands, Nyeri.
9.00 a.m.-1.00 p.m.
4.
14
KFS Headquarters- Karura, Nairobi.
9.00 a.m.-1.00 p.m.
Applications should consists of updated CV including names of three professional referees, with a current daytime telephone contact and a cover letter indicating the position applied for in the subject header. All applications must be received not later than FRIDAY 17TH DECEMBER 2021 Only shortlisted candidates will be contacted
Head of Human Resource FOR: CHIEF EXECUTIVE OFFICER
th
th
th
th
December, 2021
This notice is therefore to invite ALL the affected parties to attend the meetings on the specified dates, time and venues indicated above. Chief Conservator of Forests
WA NA K
IVU KO
I
KU S
H IC
WA
UM
M
Kenya National Innovation Agency
ON
M AU
ND HI
WA KU
KIKOHOZI
8 | MATANGAZO
“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha kutembea, virusi vitakufa”
H O MA
KOMESHA
MUA
KU
DALILI NOVEMBA 30, 2021
PU
USAID AMPATH UZIMA Telephone: (+254)532033471/2 | Postal Address: P.O. Box 4606-30100, Eldoret, Kenya | Email: [email protected].
TENDER NOTICE- INVITATION TO APPLY FOR PRE-QUALIFICATION OF SUPPLIERS FOR THE FINANCIAL YEAR’S 2021-2023
JOB VACANCY
Kenya National Innovation Agency invites applications from interested eligible firms invites applications from interested eligible firms to register for the supply of the under listed goods, Works and services for the period ending 30th June, 2023.
USAID AMPATH Uzima is a Kenya Health Partnership for Quality Services (KHPQ) program funded by USAID and managed by the Moi Teaching and Referral Hospital. This KHPQ partners with Trans Nzoia, Elgeyo Marakwet, Uasin Gishu, and West Pokot counties. Applications are invited from suitably qualified candidates for the following vacant position in the USAID AMPATH Uzima Program:
NO.
CATEGORY NO.
ITEM DESCRIPTION
ELIGIBILITY
1.
KENIA/PRE/001/2021-2023
Supply & Delivery of General Office Stationeries
Open
2.
KENIA/PRE/002/2021-2023
Supply of Toners and other Computer consumables and Accessories
Special Group
NO.
3.
KENIA/PRE/003/2021-2023
Supply of Office Furniture and Fittings
Special Group
1.
4.
KENIA/PRE/004/2021-2023
Supply of Newspapers and Magazines, Books and Periodicals
Open
5.
KENIA/ PRE/005/2021-2023
Supply and Delivery of computers, Servers, Laptops, Tablets, Printers, Scanners, software, Cameras, accessories and other related ICT materials
Open
6.
KENIA/PRE/006/2021-2023
Supply of Staff Uniforms, Clothing, Footwear, Curtains and other clothing
Open
7.
KENIA/ PRE/007/2021-2023
Supply of airtime (Safaricom, Airtel and Telkom)
Open
8.
KENIA/ PRE/008/2021-2023
Supply of Fresh Milk
Open
9.
KENIA/ PRE/009/2021-2023
Supply of bottled Mineral Water
Open
10.
KENIA/PRE/010/2021-2023
Supply of Cleaning materials, Detergents and Disinfectants
Special Group
11.
KENIA/ PRE/011/2021-2023
Supply of sanitizer fluids, face masks and surgical items for first Aid and Gloves
Special Group
12.
KENIA/PRE/012/2021-2023
Supply and fitting of motor vehicle Tyres, tubes and batteries
Open
13.
KENIA/PRE/013/2021-2023
Supply and Delivery of Assorted Electrical Fittings, Lighting Materials and accessories
Open
14.
KENIA/PRE/014/2021-2023
Provision of Travel and Air Ticketing Services (IATA Registered)
Open
15.
KENIA/PRE/015/2021-2023
Provision of Graphic Design, Printing Services and promotional materials
Special group
16.
KENIA/PRE/016/2021-2023
Provision of Cleaning Services, Sanitary Disposal, Fumigation and Pest Control and laundry
Special Group
17.
KENIA/ PRE/017/2021-2023
Provision of Repairs & Servicing of Office Equipment e.g. Photocopies (HP & Kyocera, Laptops, Printers, Projector, TV and Servers and other ICT related Accessories
Open
18.
KENIA/PRE/018/2021-2023
Supply, Installation & Commissioning of structured cabling (IP) PABX and Networking Equipment
Open
19.
KENIA/PRE/019/2021-2023
Provision of accommodation and conferences services in Nairobi, Mombasa, Nakuru, Naivasha, Machakos and Kisumu
Open
20.
KENIA/PRE/020/2021-2023
Provision and Maintenance of Minor Works including, Repairs, Mechanical, Plumbing and Electrical Services (NCA 8 registered firms)
Open
21.
KENIA/PRE/021/2021-2023
Provision of Outside catering Services in Nairobi
Open
22.
KENIA/ /PRE/022/2021-2023
Supply/Repair /maintenance and Servicing of Air conditioning equipment & Maintenance of Fire Fighting Equipment
Open
23.
KENIA/PRE/023/2021-2023
Provision of Video, Documentary and Photography Services
Special Group
24.
KENIA/PRE/024/2021-2023
Provision of Legal Services
Open
25.
KENIA/PRE/025/2021-2023
Provision of motor vehicle repairs and services (only garages validly registered with Ministry of Transport, Housing & Urban Development)
Open
26.
KENIA/PRE/026/2021-2023
Repair and maintenance of Office Furniture and Fittings
Special Group
27.
KENIA/PRE/027/2021-2023
Provision of Medical Insurance services
Open
28.
KENIA/PRE/028/2021-2023
Provision of Asset Tagging Services
Open
28.
KENIA/PRE/029/2021-2023
Provision of Event Management Services
Open
POSITION
JOB GRADE
NO. OF POSITIONS
RS 15
1
Director, Human Resource Management and Development
Terms of Employment The successful candidate will be employed on 1-year renewable contract terms to a maximum of five (5) years with a competitive salary and allowances. Candidates are requested to submit their applications together with an updated curriculum vitae, copies of certificates, current remuneration, and daytime telephone contacts, and names of three (3) referees one must be an HR Practitioner of repute. Candidates are advised to contact their referees for recommendation letters to the undersigned. Visit our website at www.ampathkenya.org/employment for more information Applications should be forwarded to the undersigned not later than 10th December 2021. The Chief of Party/AMPATH Executive Director, Care USAID AMPATH Uzima AMPATH Centre Room 101 P.O. Box 4606-30100 ELDORET Applications can also be received at [email protected]. AMPATH is an equal opportunity employer. Please note only shortlisted candidates will be contacted
TENDER NOTICE The National Police Service Commission Invites applications from interested and eligible bidders for following OPEN TENDER: S. No
TENDER NO
TENDER DESCRIPTION
TENDER SECURITY
1.
NPSC/OT/T03/2021-2022
Provision of cleaning services and fumigation
Ksh.100,000/=
Special groups i.e. Youth, women and persons living with disability who have been duly registered with the National Treasury must show proof of registration.
2.
NPSC/OT/T04/2021-2022
Supply of E1 telephone services to the NPSC headquarters
Ksh. 50,000
The Youth, Women and Persons living with disability who meet criteria for any other categories of Registration are encouraged to apply. Registration/Tender documents with detailed information shall be viewed and downloaded from www.innovationagency.go.ke websites free of charge.
3.
NPSC/OT/T05/2021-2022
Supply of internet connectivity to the NPSC headquarters
Ksh 250,000/=
Alternatively, the same document can be obtained from Ground Floor, NACOSTI Building, Off Waiyaki Way upon payment of non-refundable fee of Kshs.1000/ in our Accounts Office during the normal working hours. Completed Registration /Tender documents in plain sealed envelopes clearly marked; REGISTRATION FOR: DESCRIPTION……………………………………………………………………………………. CATEGORY NO…………………………………………………………………………………… And addressed to: The Secretary/CEO Kenya National Innovation Agency, P.O BOX 22269-00100, NAIROBI Should be deposited in the Tender Box situated on the Ground Floor, NACOSTI Building, so as to be received on or before 10th December, 2021 at 11.00am. All the applications submitted will be opened immediately thereafter in the presence of bidders/representatives who wish to attend. THE SECRETARY /CEO KENYA NATIONAL INNOVATION AGENCY
Interested and eligible bidders may download the tender documents free from the National Police Service Commission’s website: www.npsc.go.ke or Public Procurement Information Portal www.tenders.go.ke. Completed tender documents in plain sealed envelopes clearly marked with the tender number and should be addressed to: THE COMMISSION SECRETARY/CEO NATIONAL POLICE SERVICE COMMISSION P.O. BOX 47363-00100 NAIROBI. And deposited in the tender box, situated on the 2nd floor Reception, Sky Park Plaza building, or posted to the above address so as to be received on or before 14th December, 2021 at 10.00AM. Applications will be opened immediately thereafter, in the presence of bidders and/or their representatives, who choose to attend. CS/CHIEF EXECUTIVE OFFICER NATIONAL POLICE SERVICE COMMISSION
Funika mdomo unapopiga chafya
Nawa mikono na sabuni/ Sanitaiza
Jitenge na walio na virusi
Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu
Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi
Hakikisha maeneo yote ni safi
UZUIAJI
KOMESHA
NOVEMBA 30, 2021
MATANGAZO | 9
Ajenda ya maendeleo ya serikali itategemea data, asema Mucheru NA IRINE GALGALO(PCO)
W
aziri wa ICT, Ubunifu na Masuala ya Vijana, Joe Mucheru amesisitiza kujitolea kwa serikali katika kuhakikisha kuwa Kenya inatumia data kikamilifu kushughulikia mahitaji ya raia na kubuni mikakati ya kukabili athari za kijamii na kiuchumi za nchi na watu wake. Akizungumza wakati wa mkutano wa sera wa kieneo kuhusu utawala wa data na utungaji wa
sera bora barani Afrika, Mucheru alisema usimamizi wa data ni muhimu kwa ulinzi wa watu na kwa ufanisi wa uchumi na uwiano wa kijamii nchini Kenya. Waziri Mucheru alisema kwamba data zinaendelea kuwa muhimu kwa ukuaji wa uchumi na zinashawishi maisha ya kijamii ya raia akisema kwamba serikali imechukua hatua zinazofaa kubuni sera kadhaa na stakabadhi zinazohimiza umuhimu wa tekinolojia na ubunifu katika kuafikia
malengo ya ria ya Ulinzi Kenya na kuimawa Data ya risha uchumi. Kenya kumeHatua hizi, leta hatua Mucheru alisema, muhimu kazinajumuisha tika kuwezesera ya ICT ya sha matumizi 2019 na Mwonhalisi ya data. gozo wa Uchumi Usimamizi Dijitali Kenya mzuri wa ambayo imetdata kwa ambua masuala utelelezaji kadhaa kuhusu Waziri wa ICT, Ubunifu wa serikali Maswala ya Vijana Joe dijitali utaumuhimu wa na Mucheru data na haja ya tatua masukuwa na mifumo thabiti ya ala ya kubadilishana data, ulinzi wa data. upatikanaji wa data nzuri, “Kupitishwa kwa She- kuondoa sera mbaya na
kujenga serikali iliyounganishwa,” alisema waziri. Ukosefu wa usimamizi bora wa data unaweza kusababisha matumizi mabaya au kurudiwa kwa viwango vya data na suluhu za kiufundi za ubadilishanaji wa data na hivyo basi kuwa kizingiti kwa sekta kadhaa za umma kutegemeana kwa data. Pia inaweza kusababisha maombi mara kadhaa kwa raia kutoa data zao za kibinafsi mara kadhaa jambo ambalo halifai, alieleza waziri.
“Baadhi ya changamoto hizi zinaweza kutatuliwa na mitambo ya kidijitali ya kutambua watu kama vile Huduma Namba ya Kenya inayotumiwa kama chanzo kimoja cha ukweli,” aliongeza Mucheru. Hafla hiyo iliandaliwa na African Economic Research Consortium, taasisi ya ujengaji uwezo inayoweka sera za uchumi katika nchi za kusini mwa jangwa la sahara ambayo inajumuisha utafiti, mafunzo na kuhamasisha kuhusu sera.
National Environment Management Authority P.O. BOX 67839-00200, Nairobi, Kenya Tel: (254 020) 2183718, 2101370, Fax: (254 020) 6008997) E-mail: [email protected] Website: www.nema.go.ke
NOTICE TO THE PUBLIC TO SUBMIT COMMENTS ON AN ENVIRONMENTAL IMPACT ASSESSMENT STUDY REPORT FOR THE PROPOSED REDEVELOPMENT OF GOGO HYDROPOWER PLANT AT KUJA RIVER IN URIRI SUB-COUNTY, MIGORI COUNTY, KENYA Pursuant to Regulation 21 of Environmental Management and Coordination (Impact Assessment and Audit) Regulations, 2003, the National Environment Management Authority (NEMA) has received an Environmental Impact Assessment Study Report for the above proposed project.
Possible Impacts
Proposed Mitigation Measures
Oil Spills Hazards
The proponent, Kenya Electricity Generating Company (PLC) intends to redevelop the dilapidated hydropower plant to enhance its efficiency and achieve a power output of 8.7MW by utilizing the available river discharge and optimizing the hydropower plant components and some additional downstream land for the power house location at Kuja River in Uriri sub-county in Migori County.
• • •
Diesel storage tanks should have secondary containment bunds Develop and implement a spill management plan Ensure frequent inspection and maintenance of the equipment
Collapsing of dam Wall/Dam failure
• •
Carry out a routine preventative maintenance to ensure that deterioration is immediately observed and where possible repaired. Environmental and Social Impact Audits
The following are the anticipated impacts and proposed mitigation measures:
Fire outbreak
• • •
Installation of fire fighting equipment Training workers on fire safety and conducting regular fire drills Emergency /fire exit doors shall be put in place
Occupational and Community health and safety
• • • • • •
Provision of adequate PPEs to workers Operation of machines and equipment by qualified persons only Strategically placed Firefighting equipment and provision of a fully stock first aid box Instruct all workers on safety health issues every day before work begins Provide right tools, operations, instructions & manuals during work/operation phase Sensitize staff on social/health issues such as drugs and HIV/AIDS/COVID 19
Increased demand in energy
• • •
Use of energy saving bulbs and switching off unnecessary light Servicing the generator and other energy consuming /utilizing equipment regularly Using alternative/renewable sources of energy e.g. solar power for lighting
Possible Impacts
Proposed Mitigation Measures
Clearance of vegetation
•
Human Wildlife Conflicts
• • •
• •
Employ best practices during construction and rehabilitate the site at the end of the construction site. Ensure proper demarcation of the project area to be affected by the construction works. Maintain the construction activities within the footprint of the development.
•
Awareness creation and sensitization KenGen should consult Kenya Wildlife Service in managing the wild animals Consideration for fencing off and securing the dam to limit access by community members and livestock Riparian land conservation to protect the wild animals’ habitat.
Spoil from dredging
• •
Safe disposal of dredged material; Soil analysis before and after dredging
Noise and Vibration
• •
Limit vehicles and other small equipment with engines to a minimum idling time Demolish mainly during the day, a time with minimal noise disturbance
Increased sedimentation
• •
Use of sediment curtains Riverbank/bed excavation should be limited to the dry season as far as possible.
Solid Waste Generation
Soil erosion and run-off
• • •
Terracing and leveling the project site Harvesting surface and roof water Re-vegetate exposed areas around the site
• • •
Recycling/ Reusing of materials Provision of facilities for proper handling and storage of demolition materials Adequate collection and storage of waste on site and safe transportation to the disposal sites
Dust
Human waste disposal
•
As provided for by the Building Code, a temporary latrine will be provided on site to be used by construction workers
• •
Watering all active demolition areas as and when necessary to lay dust. Cover all trucks hauling soil, sand and other loose materials
Traffic and Transport
•
Carry out deliveries of materials being removed from the decommissioned site during the day to avoid noise and disruption of sleep to the residents
Extraction and Use of Building Materials
• •
Sourcing raw materials from registered quarries and sand mining firms Ensure accurate budgeting of construction materials to avoid wastage
• • •
Compliance with Noise and Vibration Regulations of 2009 Use of PPEs /Equip workers with standard noise attenuation features Use equipment designed with noise control elements
Workers accidents during demolition process
•
Noise pollution
Community Health and Safety
• • • •
Adherence to the provisions of the Occupational Safety and Health Act, 2007 and its subsidiary legislation. Provision of PPEs to workers Safety slogans should be strategically posted as a reminder to employees Sensitize staff on social/health issues such as drugs and HIV/AIDS/COVID 19
A comprehensive contingency plan will be prepared before demolition begins, on accident response. Adherence to safety procedures will be enforced at all stages of the exercise All workers, pursuant to labour laws, shall be accordingly insured against accidents. All workers will be provided and instructed to wear protective attire during demolition, including helmets. Demolition work will be limited to daytime only to avoid workers accidents due to poor visibility
Exhaust & Dust Emissions
• •
Sprinkle the construction area with water to keep dust levels down. Provide dust masks to all personnel in areas prone to dust emissions
Traffic Impacts
• • • •
Limit movement of heavy plant to off-peak hours Adequate maintenance of the equipment to reduce emissions Drivers to reduce speed of vehicle on the road Use construction and warning signs to warn the public on the traffic
• • •
Awareness creation and sensitisation Liaise with Kenya Wildlife Service in managing the wild animals KenGen to consider possibility of providing a water tap for the community outside the dam area. Riparian land conservation to protect the wild animals’ habitat.
Human Wildlife Conflicts
• Interruption of migratory routes for upstream breeders
•
A fish pass/fish ramp has been provided to enable uninterrupted movement of aquatic organisms
Noise and Vibration
• •
Generators to be housed in buildings with solid walls Installation of noise insulation materials to buildings with noise sources
• • • •
The full report of the proposed project is available for inspection during working hours at: 1.
Principal Secretary Ministry of Environment and Natural Resources NHIF Building, 12th Floor Ragati Road, Upper Hill P.O. Box 30126-00100 NAIROBI
3.
County Director of Environment MIGORI
2.
Director, General, NEMA Popo Road, off Mombasa Road P.O. Box 67839-00200 NAIROBI
A copy of the EIA report can be downloaded at www.nema.go.ke NEMA invites members of the public to submit oral or written comments within thirty (30) days from the date of publication of this notice to the Director General, NEMA, to assist the Authority in the decision-making process for this project. Kindly quote ref. no. NEMA/EIA/5/2/1898 Comments can also be e-mailed to [email protected] DIRECTOR GENERAL This advertisement is sponsored by the proponent
I
H IC
WA
UM
WA NA K
IVU KO
M AU
ND HI
WA KU
KIKOHOZI
H O MA
KU S
10 | MATANGAZO
“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha kutembea, virusi vitakufa”
ON
M
KOMESHA
MUA
KU
DALILI NOVEMBA 30, 2021
PU
Sunkuli apongeza mpango mpya wa uongozi wa vijana
INVITATION TO TENDER
NO
TENDER NO.
DESCRIPTION
ELIGIBILITY
CLOSING DATE
1
KGN-KIP-044-2021
Tender for Supply of Complete Twin Tower Regenerative Compressed Air Dryer for Kipevu I Power Station.
Women Enterprise
10th January 2022 at 10.00 a.m.
2
KGN-GDD-202-2021
Tender for Supply of GNSS Echo-Sounder Set.
PLWD Enterprise
11th January 2022 at 10.00 a.m.
3
KGN-SONDU-017-2021
Tender for Laying of Epoxy Floor at Sondu Power Station Loading Bay.
Women Enterprise
12th January 2022 at 10.00 a.m.
PLWD Enterprise
13th January 2022 at 10.00 a.m.
There shall be a Mandatory site visit on 16th December 2021 at Sondu Power Station Starting at 10.00 a.m. 4
KGN-SONDU-020-2021
Tender for Supply of Club Equipment and Completion of Laundry House. There shall be a Mandatory site visit on 13th December 2021 at Sondu Power Station Starting at 10.00 a.m.
5
KGN-KIP-045-2021
Tender for Supply of Lubricating Oil Cooler Plates for Kipevu I Power Station.
Citizen Contractors
17th January 2022 at 10.00 a.m.
6
KGN-KIP-046-2021
Tender for Cleaning, Inspection, Repair and Re-Painting Of HFO Pretreatment Tank 2B and HFO Service Tank 3B at Kipevu 1 Power Station.
Citizen Contractors
18th January 2022 at 10.00 a.m.
7
KGN-KIP-047-2021
Tender for Supply of Assorted Spares for Alfa Laval Centrifuges for Kipevu I Power Station.
Citizen Contractors
19th January 2022 at 10.00 a.m.
8
KGN-GDD-203-2021
Tender for Supply of Casings for Geothermal Development Division
Citizen Contractors
20th January 2022 at 10.00 a.m.
9
KGN-GDD-204-2021
Tender for Supply of Drill String Components, Fishing and Directional Tools for GDD.
Citizen Contractors
24th January 2022 at 10.00 a.m.
10
KGN-KIP-048-2021
Tender for Supply of Woodward Governor Actuators for Kipevu I and III Power Stations
Citizen Contractors
25th January 2022 at 10.00 a.m.
11
KGN-IT-032-2021
Tender for Cyber Security Review Services.
Citizen Contractors
25th January 2022 at 2.00 p.m.
12
KGN-TURK-07-2021
Tender for Supply Installation and Commissioning of CCTV System at Sang’oro, Transport Yard and Turkwel Power Station.
Citizen Contractors
26th January 2022 at 10.00 a.m.
Open International
26th January 2022 at 2.00 p.m.
There shall be a Mandatory site visit on 14th December 2021 at Sangoro Power Station and on 17th December 2021 at Turkwel Power Station both Starting at 10.00 a.m. 13
KGN-HYD-054-2021
Tender for Replacement Runners and Rehabilitation of Main Inlet Valves for Unit 2&3 at Gitaru Power Station. There shall be a Mandatory site visit On 7th December 2021 at Gitaru Power Station Starting at 10.00 a.m.
Interested firms may obtain further information from the office of the Supply Chain Director,Tel: (254) (020) 3666230, Email: [email protected] on normal working days beginning on the date of advert. The tender documents may be collected upon payment of a non-refundable fee of KShs.1, 000.00 paid via Mpesa, pay bill no. 400200 and account no. 01120069076000, then share the MPesa message to KenGen Finance office staff for receipt and issuance of official receipt or through a banker’s cheque at any KenGen finance office. The document can also be viewed and downloaded from the website www.kengen.co.ke and on E-procurement https://eprocurement.kengen.co.ke:50001/irj/portal.
Note; Those Bidder who have submitted their bids should not click on WITHDRAW but click on EDIT to amend their bid response and make appropriate changes if they desire to do so. Bidders who require any form of assistance on how to bid via the system are advised to download a manual from the website or may contact [email protected] The Original Tender Security where applicable in the form and amount specified and must be delivered in plain sealed envelope clearly labelled with the tender number and tender description before the closing date to the following address: Supply Chain Director, Kenya Electricity Generating Company PLC, 9th Floor, KenGen Pension Plaza II, Kolobot Road, Parklands, P.O. Box 47936, 00100 NAIROBI.
Bidders are advised to refer to the website and on e-procurement regularly for any additional information /clarifications/addenda. Downloaded copies are FREE. SUBMISSION OF TENDERS: 1.
Tender documents must be submitted online through KenGen E-Procurement web portal found on the KenGen website (www.kengen.co.ke )
Note; The Original Tender Security should be dropped in the tender box located on Ground Floor at KenGen, RBS building before submission deadline.
2.
Bidders who are interested in this tender MUST ensure that they are registered in the E-Procurement Portal. Please ensure compliance to the following; • For suppliers registering for the first time ensure the “Public Procurement” checkbox is ticked so that the login details are sent to suppliers automatically
Tenders will be opened online soon after the closing time in the presence of the candidates’ representatives who choose to attend at KenGen Pension Plaza II, Tender opening room, 6th floor.
•
•
N/B: KenGen adheres to high standards of integrity in its business operations. Report any unethical behavior immediately to the provided anonymous hotline service.
It is a mandatory requirement that all documents are uploaded to the c-folder of the SRM System through the link ‘Technical RFx response’. No responses/ documents shall be attached to the ‘notes and attachments’ tab as they will not be considered for evaluation.
1) 2) 3) 4)
Prices to be entered under item of the RFx shall be similar to be prices in the price schedule.
SUPPLY CHAIN DIRECTOR
Call Toll Free: 0800722626 Free Fax: 00800 007788 Email: [email protected] Website: www.tip-offs.com
NA GODFREY ISIYE(PCO)
K
ATIBU katika Wizara ya Masuala ya Vijana, Charles Sunkuli amepongeza Mpango wa Uongozi unaoibukia katika Utumishi wa Umma uliozinduliwa hivi majuzi. Bw Sunkuli alisema mpango huo uliokitwa katika mabadiliko ya Ruwaza ya 2030 kwa umma na uchumi, unasaidia mipango ya serikali iliyopo inayolenga kuwezesha kizazi kijacho cha watumishi wa umma. “Vijana watafaidika pakubwa na Ushirika wa Viongozi Wanaoibuka katika Utumishi wa Umma ambao ni mpango wa miaka miwili wa maendeleo ya kitaaluma kwa viongozi vijana wenye maarifa ya juu,” alisema Bw Sunkuli. Alibainisha kuwa mpango mkuu wa kwanza wa maendeleo ya uongozi unakusudiwa kwa watumishi wa umma wanaofanya vyema ambao wameifanyia kazi serikali kwa hadi mwaka mmoja. Akizungumza katika jumba la mikutano la KICC jijini Nairobi wakati wa uzinduzi wa mpango huo, Sunkuli alisema kuwa mpango huo utazingatia mbinu bora zinazozin-
Katibu wa Maswala ya Vijana, Charles Sunkuli
gatiwa kutoka nchi zingine kama vile Liberia na Ghana ambapo zaidi ya watu 200 wamenufaika kote katika wizara 25 za serikali, idara na mashirika, kuimarisha uwezo wa taasisi za sekta ya umma. Bw Sunkuli alisema kuwa mpango huo unalenga kuunda mtandao wa Afrika nzima wa maafisa vijana zaidi ya 500 kutoka nchi sita za Afrika ifikapo 2023, ikiwa ni pamoja na Kenya. “Vijana werevu wa Kiafrika watapatiwa vifaa na ujuzi unaoenga uzoefu muhimu unaolenga viongozi wazuri katika watumishi wa umma. Athari zinazolengwa kwa wataalamu wenye talanta itafaidi pakubwa vijana,” akasema. Alifichua kuwa wizara ya Utumishi wa Umma, Jinsia na masuala ya wazee ilikuwa muhimu sana kwa mafanikio ya mpango huo.
Taasisi ya maji kutafuta Sh38.7 bilioni kusaidia mipango ya mafunzo NA MUTISO MBITHI NA MATHEW CHEPKEWEL (MYGOV)
Usimamizi wa taasisi ya maji ya Kenya (KEWI) utatafuta Sh38.7 bilioni kusaidia mipango na miradi yake kufikia 2026. Akizungumza alipozindua mkakati wa mipango wa kipindi cha 2021-2026, Afisa Mkuu Mtendaji wa KEWI Profesa . Patrick Hayombe alisema pesa hizo zitatumiwa kuimarisha upatikanaji, ubora na mipango husika ya mafunzo na kuongeza usajili wa wanafunzi kutoka 4,397 hadi 10,000 ifikapo 2026. Profesa Hayombe aliongeza kuwa pesa hizo ambazo zitatafutwa kutoka kwa sekta ya kibinafsi na serikalini pia zitatumiwa kuongeza utafiti kupitia majarida, ubunifu na uha-
masishaji kufikia 2026. “Katika mikakati ya mipango ya kipindi 2021-2026, tasisi italenga kuimarisha juhudi za mafunzo na wafanyakazi, utafiti, ubunifu na kuhamasisha jamii, kutafuta pesa na huduma za utaalamu, kujenga uwezo wa taasisi na usimamzi ili kuafikia malengo ya mpango,”alisema Profesa Hayombe. Afisa Mkuu Mtendaji huyo pia alisema KEWI itaelekeza juhudi zake katika malengo sita ya mkakati ambayo yatadumisha nafasi yake katika mafunzo ya wataalamu kwa sekta hiyo. Pesa zitakazopatikana, Profesa Hayombe alisema zitasaidia kuongeza wafanyakazi wa KEWI kutoka asilimia 22 wakati huu hadi asilimia 100 na kuimarisha ujuzi na uwezo wao.
NAIROBI-KENYA I TOLEO No. 22/2020-2021
Uzalishaji Kahawa kuongezeka EU ikipatia wakulima mashine mpya NA IRUNGU MWANGI (KNA)
W
akulima elfu sita wa chama cha ushirika cha kahawa cha Rwama eneo la Gichugu, kaunti ya Kirinyaga wataongeza ubora wa kahawa yao baada ya kupata mashine mpya ya kisasa ya kutengeneza kahawa. Wakulima hao walinufaika na mashine ya kisasa kutoka kwa Muungano wa Ulaya kwa ushirikiano na shirika la Slovak aid and Coffee Management Service. Meneja Mkuu wa Coffee Management Services Bw Martin Ngari alisema kwamba kiwanda hicho kitaongeza uzalishaji, kupunguza gharama ya leba na kwa hivyo kuongeza mapato kutokana na uwezo na tekinolojia ya kisasa. Akizungumza akiwa kiwanda cha kahawa cha Kimatu, eneo la Gichungu baada ya kuzindua mashine hiyo mpya, Bw Ngari alisema kwamba wakulima walihitaji mashine hiyo kwa sababu ya bidii yao na uwezo wa kufikia uzalishaji wa juu wa kahawa licha ya chama hicho cha ushirika kuwa na viwanda vitatu pekee.
JUU: Maafisa kutoka Slovak Aid na Coffee Management Service pamoja na wasimamizi wa chama cha ushirika cha kahawa wakati wa uzinduzi wa mitambo mipya. Mashine hiyo iliwekwa katika chama cha ushirika cha Rwama.
“Tofauti na vyama vingine vya ushirika ambazo vinafungwa kwa sababu ya kuwa na kiwango cha chini cha uzalishaji, Rwama imeendelea kuongeza uzalishaji wake kila mwaka na kikiwa
na mashine hii, kitatimiza kiwango bila kuumiza mashine zilizoko kwa wakati huu.” Alisema kuwa mashinde hiyo mpya ina uwezo wa kutengeneza kilo 5000 za kahawa kwa saa na hivyo
basi kupunguza wakati unaohitajika wa kutengeneza kilo 40,000 za kahawa zinazopokelewa kila siku. Kabla ya kuanzishwa kwake, wakulima walitumia mashine ya zamani iliyowekwa miaka ya 1960s’. Vile vile, alisema kwamba mashine hiyo ya thamani ya Sh8 milioni ina uwezo wa kuongeza uzalishaji na kwa hivyo kuwafanya wakulima kupata bei ya juu kwa sababu ya uwezo wa gredi ya kahawa yao na kupunguza kuharibika kwa kahawa ikilinganishwa na mashine za kawaida za zamani. Mwenyekiti wa chama hicho cha ushirika Julius Waweru alisema kwamba mashine hiyo italeta mabadiliko yatakayoleta mageuzi makubwa katika mapato ya wakulima kwa sababu ya uwezo wake. Ikilinganishwa na mashine ya zamani iliyotumia Sh10 kutengeneza kila kilo moja ya kahawa, mashine hiyo mpya itapunguza gharama ya leba kwa Sh4 kwa kila kilo. Vile vile, inalinda mazingira na inadumu kutokana na uwezo wake wa kupunguza matumizi ya maji ikitumia lita 1000 za maji kwa siku.
Benki ya Dunia kutumia Sh 67.9B kwenye mipango ya kuongeza thamani ya kilimo kwenye kaunti 45 NA WANGARI NDIRANGU (KNA)
Serikali kwa ushirikiano na Benki ya Dunia, itafadhili mipango tofauti ya kilimo katika kaunti 45 za mashambani kwa gharama ya Sh67.9 bilioni. Mipango chini ya mradi wa Kenya Climate Smart Agriculture Project (KCSAP) itashirikisha wakulima 1.1 milioni wanaojumuisha makundi 50,000 maarufu kama Common Interest groups (CIGs) na mashirika 500 ya uzalishaji ya wakulima (FPOs) katika mifumo 19 ya uongezaji thamani kufanya mifumo ya kilimo kuongeza uzalishaji na stahimilivu.
Chini ya mradi huo pia, jumula ya tani 328 za mbegu za mimea ya viazi mbatata, ndengu, mbaazi na mtama zimezalishwa na zitasaidia pakubwa kuimarisha upatikanaji wa mbegu miongoni mwa wakulima. Kulingana na waziri msaidizi wa kilimo Bi Ann Nyagah, Kenya inahitaji mabadiliko katika mifumo yake ya kilimo iweze kuzalisha zaidi na stahimilivu huku ikipunguza utoaji wa gesi hatari chini ya mabadiliko ya tabia nchi. Kilimo salama kwa mabadiliko ya tabia nchi, alieleza Bi Nyaga ndicho kitatoa nafasi ya mabadiliko kwa kuunganisha kilimo, ustawi na mab-
adiliko ya tabia nchi chini ya ajenda moja. Hii, hata hivyo, inawezekana kupitia kuunganisha hatua tatu za maendeleo ya kudumu ambazo ni uchumi, jamii na mazingira pamoja kutatua changamoto za utoshelevu wa chakula na hali ya anga. Waziri msaidizi alikuwa akizungumza baada ya kufungua rasmi kongamano la Kenya Climate Smart Agriculture Project (KSCAP) katika Shirika la Utafiti wa Kilimo na Mifugo (KALRO) alisema kwamba mkutano huo ulikuwa ukifanyika wakati ambao sehemu za nchi zinakumbwa na ukame mkali unaosababishwa na mab-
adiliko ya tabia nchi na kwa hivyo kufanya haja ya kupiga vita mabadiliko ya tabia nchi na athari zake kuwa jambo la dharura. “Athari hasi za mabadiliko ya tabia nchi zinajumuisha kupungua kwa uzalishaji wa kilimo na hasara kwa mimea, mifugo, samaki na uwekezaji katika kilimo kutokana na mabadiliko ya hali ya joto na hali mbaya ya hali ya hewa,” alisema. Alisema Kilimo, ambacho kinategemea mvua na kwa hivyo kina hatari ya kuathiriwa na mabadiliko ya tabia nchi na kusababisha miongoni mwa mengine, usimamizi usiodumu wa ardhi, kimechangia shida hii.
KWA UFUPI Maelfu wafuzu JKUAT, PAUSTI zikifanya mahafala ya pamoja Zaidi ya watahiniwa 5,171walifunzu na digrii, diploma na vyeti vya Chuo Kikuu cha Kilimo na Tekinolojia cha Jomo Kenyatta (JKUAT) na Chuo Kikuu cha sayansi ya msingi, tekinolojia na ubunifu cha Pan Africa (PAUSTI), wakati wa mahafala ya pamoja katika kitivo Kikuu cha chuo hicho eneo la Juja Wakati wa sherehe hiyo iliyoongozwa na Chansela wa chuo hicho Profesa Joseph Mathu Ndung’u, digrii 4443, diploma 104 shahada 539 za uzamili na 85 za uzamifu zilipeanwa. Sherehe hiyo ya kufunzu ambayo mada yake ilikuwa: kuimarisha mabadiliko ya dijitali katika mafunzo na utafiti, ubunifu na biashara kwa maendeleo, ilikuwa ya tatu kufanywa kwa njia ya mtandao na JKUAT na ya pili ya PAUSTI tangu ujio wa Covid-19. Pia ni ya 37 na ya 7 ya kufunzu ya taasisi hizo mbili mtawalia.Akizungumza katika sherehe hiyo, Profesa , Prof. Ndung’u alisifu Chuo Kikuu hicho kwa juhudi zake za “kutia nguvu ushirikiano na uhusiano na sekta hiyo na wadau wengine.” Chansela huyo alifichua kwamba JKUAT “ ilikuwa ime-
tia saini mkataba wa maelewano na Wizara ya Afya na Shirika la Afya Ulimwenguni kuanzisha kituo cha kitaifa cha National Assistive Technology Centre of Excellence.” Kituo hicho, aliongeza,” kitashughulikia watu walio na ulemavu, maradhi yasiyo ya kuambukizwa, matatizo ya akili miongoni mwa matatizo mengine ya afya.” Profesa Ndung’u pia alisema kwamba Chuo Kikuu hicho kilikuwa kimepokea droni kutoka kwa JICA na Rochester Institute of Technology kama sehemu ya taasisi hiyo ya kujitolea kuimarisha uwezo wa utafiti. Waziri wa Elimu Profesa George Magoha alisema kwamba janga la COVID-19 lilivuruga sekta ya elimu. Hii, aliongeza, “ limefanya hatua kuchukuliwa kuhakikisha masomo yanaendelea.” Alisema kwamba ameridhishwa kwamba “JKUAT ilikuwa imepanua miundo misingi yake jambo lililofanya chuo hicho kuorodheshwa cha kwanza katika matumizi ya KENET Remote Teaching Platform miongoni mwa vyuo vikuu vya Kenya.” Na Patrick Amunavi
Vijana kaunti ya Kakamega kufunzwa ufugaji wa samaki VIJANA kutoka mjini Kakamega, walio na ari ya ufugaji wa samaki, watafunzwa mbinu ya ufugaji samaki chini ya Mpango wa Maendeleo ya Biashara ya Ufugaji wa samaki (ABDP). Mpango huo wa miaka minane unaofadhiliwa na Serikali ya Kenya (GOK) na Shirika la Kimataifa ya Fedha na Maendeleo ya Kilimo (IFAD) pia utawanufaisha vijana katika kaunti nyingine 15 kote nchini. Kupitia mpango huo, Serikali na washirika wa maendeleo wanalenga kupunguza umaskini, kuboresha utoshelevu wa chakula na lishe katika jamii za vijijini katika kaunti zilizochaguliwa. Afisa Mkuu wa Kaunti ya Kakamega anayesimamia Maendeleo ya Uvuvi, Zephaniah Otieno alisema kuwa, moja ya malengo katika mpango huo ni kuunda na kuendeleza biashara ndogo kando na ufugaji wa samaki. Akizungumza wakati wa mkutano na maafisa wa Shirika la Misaada la Marekani (USAID) mjini Kakamega, Otieno alisema wanalenga vijana walio na ujuzi wa ujasiriamali ili kuwawezesha kuanzisha
au kuboresha na kusadia Biashara ndogo (ASEs) za ufugaji wa samaki (ASEs) katika mfumo wa uongezaji thamani. Biashara ndogo ndizo zinalengwa ambazo zitanufaika na nafadi za kazi katika ufugaji wa samaki. Watakaopewa mafunzo hayo ni Wakufunzi wa Wakufunzi (TOTs) ambao watahusika na uanzishaji wa mafunzo hayo katika ngazi ya ujasiriamali. Vijana watakaonufaika watapewa mafunzo ya ujenzi wa vidimbwi, usafirishaji wa samaki wadogo, usambazaji wa pembejeo za ufugaji wa samaki na uzalishaji wa malisho ya ndani. Afisa mkuu huyo alisema vijana hao wanahitaji uangalizi maalum ili wathamini ufugaji wa samaki kama biashara ambayo inaweza kuwawezesha kujikimu kimaisha badala ya kusubiri kazi za ushindani. “Kuna haja ya tathmini inayozingatia maslahi kwa sababu kilimo biashara inahitaji lazima uwe na maslahi hayo, tunaangazia vijana katika ufugaji wa samaki ambao wana shauku katika kilimo biashara,” akasema Otieno. Na Moses Wekesa(KNA)
DESIGN AND EDITING OF MYGOV WEEKLY BY THE KENYA YEARBOOK EDITORIAL BOARD NHIF Building , 4th Floor, P.O. Box 34035-00100 Email: [email protected] Tel: 0202715390 / 0711944538 www.kenyayearbook.co.ke